Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 35:26-29 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Na watoto wa kiume waliozaliwa na Zilpa, mjakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Asheri. Hao ndio watoto wa kiume wa Yakobo, aliowazaa alipokuwa kule Padan-aramu.

27. Yakobo aliondoka akaenda Mamre kwa baba yake Isaka, huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, mahali ambapo Abrahamu na Isaka walikaa kama wageni.

28. Isaka alikuwa na miaka 180

29. akafariki akiwa mzee wa miaka mingi. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamzika.

Kusoma sura kamili Mwanzo 35