Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 34:7 Biblia Habari Njema (BHN)

na wakati huohuo watoto wa kiume wa Yakobo wakawa wanarudi nyumbani kutoka malishoni. Waliposikia hayo, vijana hao wakaona uchungu mwingi na kukasirika sana, kwa vile Shekemu alikuwa amewafanyia watu wa Israeli ovu hilo la kulala na binti ya Yakobo, maana jambo hilo lilikuwa mwiko.

Kusoma sura kamili Mwanzo 34

Mtazamo Mwanzo 34:7 katika mazingira