Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 33:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Esau akasema, “Heri nikuachie baadhi ya watu wangu.” Lakini Yakobo akasema, “Kuna haja gani ya kufanya hivyo? Yanitosha kwamba mimi nimepata fadhili yako, ewe bwana wangu.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 33

Mtazamo Mwanzo 33:15 katika mazingira