Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 31:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Raheli akamwambia baba yake, “Samahani baba, usiudhike, kwani siwezi kusimama mbele yako kwa sababu nimo katika siku zangu.” Basi, Labani akavitafuta vinyago vya miungu yake, lakini hakuvipata.

Kusoma sura kamili Mwanzo 31

Mtazamo Mwanzo 31:35 katika mazingira