Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 30:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, siku zijazo, uaminifu wangu utaonekana waziwazi utakapokuja kuuangalia ujira wangu. Mbuzi yeyote asiye na madoadoa au mabakamabaka, au kondoo yeyote asiye mweusi akionekana katika kundi langu, huyo atakuwa ameibiwa.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 30

Mtazamo Mwanzo 30:33 katika mazingira