Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 3:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!”

Kusoma sura kamili Mwanzo 3

Mtazamo Mwanzo 3:22 katika mazingira