Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 29:22-24 Biblia Habari Njema (BHN)

22. Basi, Labani akaandaa karamu na kuwaalika watu wote wa huko.

23. Lakini jioni, Labani akamchukua Lea, binti yake mkubwa, na kumpeleka kwa Yakobo. Yakobo akalala naye.

24. (Labani akamtoa Zilpa, mjakazi wake, awe mtumishi wa Lea.)

Kusoma sura kamili Mwanzo 29