Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 28:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akisema, “Usioe mwanamke yeyote Mkanaani.

2. Nenda Padan-aramu, nyumbani kwa babu yako Bethueli, ukaoe mmojawapo wa binti za mjomba wako Labani.

3. Mungu mwenye nguvu na akubariki upate wazawa wengi na kuongezeka, ili uwe jamii kubwa ya watu.

Kusoma sura kamili Mwanzo 28