Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 25:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Abrahamu alioa mke mwingine, jina lake Ketura.

2. Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

3. Yokshani alimzaa Sheba na Dedani; wazawa wa Dedani walikuwa Waashuru, Waletushi na Waleumi.

4. Watoto wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Henoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wazawa wa Ketura.

5. Abrahamu alimrithisha Isaka mali yake yote.

Kusoma sura kamili Mwanzo 25