Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 23:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Sara aliishi miaka 127. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha yake Sara.

2. Alifia huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akaomboleza na kumfanyia matanga Sara mkewe.

Kusoma sura kamili Mwanzo 23