20. Baada ya matukio hayo Abrahamu alipata habari kwamba Milka pia amemzalia Nahori, nduguye, watoto wa kiume:
21. Usi mzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemueli baba yake Aramu,
22. Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.
23. Bethueli alimzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori, ndugu yake Abrahamu, watoto hao wanane.
24. Zaidi ya hayo, Reuma, suria wa Nahori, pia alimzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.