Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Abimeleki akaamka asubuhi na mapema, akawaita watumishi wake wote na kuwaeleza mambo aliyoyaona katika ndoto; nao wakaogopa sana.

Kusoma sura kamili Mwanzo 20

Mtazamo Mwanzo 20:8 katika mazingira