Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 20:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Toka Mamre, Abrahamu alisafiri kuelekea eneo la Negebu, akafanya makao yake kati ya Kadeshi na Shuri, kisha akaenda kukaa kwa muda huko Gerari.

2. Akiwa huko, Abrahamu alisema kuwa mkewe Sara ni dada yake. Kwa hiyo, mfalme Abimeleki wa Gerari akamchukua Sara.

Kusoma sura kamili Mwanzo 20