Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 2:11-14 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Jina la mto wa kwanza ni Pishoni; huo waizunguka nchi yote ya Hawila ambako kuna dhahabu.

12. Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.

13. Jina la mto wa pili ni Gihoni; huo waizunguka nchi yote ya Kushi.

14. Jina la mto wa tatu ni Tigri, nao watiririkia upande wa mashariki wa nchi ya Ashuru; na jina la mto wa nne ni Eufrate.

Kusoma sura kamili Mwanzo 2