Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 19:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.

Kusoma sura kamili Mwanzo 19

Mtazamo Mwanzo 19:16 katika mazingira