Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 14:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Abramu aliporudi baada ya kumshinda mfalme Kedorlaomeri na wenzake, mfalme wa Sodoma alitoka kwenda kumlaki katika bonde la Shawe, (yaani Bonde la Mfalme).

Kusoma sura kamili Mwanzo 14

Mtazamo Mwanzo 14:17 katika mazingira