Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kukazuka ugomvi kati ya wachungaji wa Abramu na wachungaji wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.

Kusoma sura kamili Mwanzo 13

Mtazamo Mwanzo 13:7 katika mazingira