Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Loti akatazama, akaliona bonde la mto Yordani, akaona kuwa lina maji ya kutosha kila mahali, kama bustani ya Mwenyezi-Mungu na kama nchi ya Misri upande wa Soari. (Hii ilikuwa kabla Mwenyezi-Mungu hajaiangamiza miji ya Sodoma na Gomora).

Kusoma sura kamili Mwanzo 13

Mtazamo Mwanzo 13:10 katika mazingira