15. na ingae angani na kuiangazia dunia.” Ikawa hivyo.
16. Basi, Mungu akafanya mianga miwili mikubwa; ule mkubwa utawale mchana na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
17. Mungu akaiweka mianga hiyo angani iiangazie dunia,
18. ipate kutawala mchana na usiku, na kuutenga mwanga na giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.