Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 6:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Mwenyezi-Mungu anawaita wakazi wa mji,na ni jambo la busara sana kumcha yeye:“Sikilizeni, enyi watu wa Yuda;sikilizeni enyi mliokusanyika mjini.

10. “Je, nitavumilia maovuyaliyorundikwa nyumbani mwao,mali zilizopatikana kwa udanganyifu,na matumizi ya mizani danganyifu,jambo ambalo ni chukizo?

11. Je, naweza kusema hawana hatiawatu wanaotumia mizani ya danganyifuna mawe ya kupimia yasiyo halali?

Kusoma sura kamili Mika 6