Nyinyi mnafuata mfano mbaya wa mfalme Omrina mfano wa jamaa ya mfalme Ahabuna mfano mbaya wa jamaa ya mwanawe, Ahabu,na mmefuata mashauri yao.Kwa hiyo nitawaleteeni maangamizi,na kila mtu atawadharau.Watu watawadhihaki kila mahali.”