Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 4:11-13 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Mataifa mengi yamekusanyika kuwashambulia.Yanasema: “Acheni mji wao utiwe najisi,nasi tuyaone magofu ya Siyoni!”

12. Lakini waohawafahamu mawazo ya Mwenyezi-Munguwala hawaelewi mpango wake:Kwamba amewakusanya pamoja,kama miganda mahali pa kupuria.

13. Mwenyezi-Mungu asema,“Enyi watu wa Siyoni,inukeni mkawaadhibu adui zenu!Nitawapeni nguvu kama fahalimwenye pembe za chuma na kwato za shaba.Mtawasaga watu wa mataifa mengi;mapato yao mtaniwekea wakfu mimi,mali zao mtanitolea mimi Bwana wa dunia yote.”

Kusoma sura kamili Mika 4