Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 3:11-12 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Waamuzi hufanya kazi yao kwa rushwa,makuhani wake hufundisha kwa malipo,manabii hutabiri kwa fedha.Hata hivyo hujidai kumtegemea Mwenyezi-Mungu,wakisema, “Mwenyezi-Mungu, si yupo pamoja nasi?Hatutapatwa na madhara yoyote!”

12. Haya! Kwa sababu yenu,Siyoni utalimwa kama shamba,Yerusalemu utakuwa magofu,nao mlima wa hekalu utakuwa msitu.

Kusoma sura kamili Mika 3