Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 2:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu awaambia hivi:“Nyinyi mnawavamia watu wangu kama adui.Mnawanyang'anya mavazi yao watu watulivu;watu wanaopita kwenda zao bila wasiwasi,na wasio na fikira zozote za vita.

Kusoma sura kamili Mika 2

Mtazamo Mika 2:8 katika mazingira