Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo watu watawasimanga kwa wimbo,watalia na kuomboleza kwa uchungu, wakisema:‘Tumeangamia kabisa;Mwenyezi-Mungu amechukua nchi yetu,naam, ameiondoa mikononi mwetu.Mashamba yetu amewagawia waliotuteka.’”

Kusoma sura kamili Mika 2

Mtazamo Mika 2:4 katika mazingira