Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 2:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Inukeni mwende zenu!Hapa hamna tena pa kupumzika!Kwa utovu wenu wa uaminifumaangamizi makubwa yanawangojea!

11. Kama mtu angetokea akatamka maneno matupu ya uongona kusema: ‘Nawatabirieni divai na pombe kwa wingi’,mhubiri wa namna hiyo angependwa na watu hawa!

12. “Lakini kweli nitawakusanya nyote enyi watu wa Yakobo,naam, nitawakusanya enyi Waisraeli mliobaki,niwalete pamoja kama kondoo katika zizi,kama kundi kubwa la kondoo malishoni;nanyi mtakuwa kundi la watu wengi.”

Kusoma sura kamili Mika 2