Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 5:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Fikiri kabla ya kusema, wala usiwe mwepesi kusema chochote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko duniani. Kwa hiyo usiseme mengi.

Kusoma sura kamili Mhubiri 5

Mtazamo Mhubiri 5:2 katika mazingira