Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 4:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikaona udhalimu wote unaofanyika duniani. Watu wanaokandamizwa hulia machozi, lakini hakuna yeyote anayewafariji. Wakandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.

Kusoma sura kamili Mhubiri 4

Mtazamo Mhubiri 4:1 katika mazingira