Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 3:3-10 Biblia Habari Njema (BHN)

3. wakati wa kuua na wakati wa kuponya;wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga;

4. wakati wa kulia na wakati wa kucheka;wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza;

5. wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya mawe pamoja;wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia;

6. wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza;wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa;

7. wakati wa kurarua na wakati wa kushona;wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea;

8. wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia;wakati wa vita na wakati wa amani.

9. Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

10. Mimi nimeiona kazi ambayo binadamu amepewa na Mungu.

Kusoma sura kamili Mhubiri 3