Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 2:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Nilifanya mambo makuu: Nilijenga majumba na kujilimia mashamba ya mizabibu.

5. Nilijifanyia bustani na viunga, nikapanda miti ya matunda ya kila aina.

6. Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti.

Kusoma sura kamili Mhubiri 2