Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 2:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu humjalia mtu apendezwaye naye hekima, akili na furaha; lakini humpa mwenye dhambi kazi ya kuvuna na kurundika, kisha akampa anayempendeza yeye Mungu. Yote hayo pia ni bure kabisa; ni sawa na kufukuza upepo.

Kusoma sura kamili Mhubiri 2

Mtazamo Mhubiri 2:26 katika mazingira