Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo utaogopa kupanda mahali pa juuna kutembea barabarani ni kitisho;wakati miti ya mlozi inachanua na panzi wanashiba,lakini wewe hutakuwa na hamu tena.Wakati huo binadamu anapaswa kwenda katika makao yake ya milele,nao waombolezaji watapitapita barabarani.

Kusoma sura kamili Mhubiri 12

Mtazamo Mhubiri 12:5 katika mazingira