Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 12:13-14 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Baada ya hayo yote yaliyokwisha semwa bado kuna hili linalotakiwa: Mche Mungu, na uzishike amri zake; kwa sababu hilo ndilo jukumu aliloumbiwa binadamu.

14. Maana, Mungu atahukumu matendo yetu yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yawe mema au mabaya.

Kusoma sura kamili Mhubiri 12