Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 10:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Nzi waliokufa husababisha marashi kunuka;upumbavu kidogo hubatilisha hekima na heshima.

2. Moyo wa mwenye hekima humwongoza kutenda yaliyo sawa;lakini mtu mpumbavu moyo wake humpotosha.

3. Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo,humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

4. Mtawala akikuwakia hasira, usijiuzulu;makosa makubwa huweza kufutwa ukiwa mnyenyekevu.

Kusoma sura kamili Mhubiri 10