Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 1:15-18 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Kilichopindika hakiwezi kunyoshwa,kisichokuwapo hakiwezi kuhesabiwa.

16. Basi, nikatafakari nikisema, “Nimejipatia hekima nyingi zaidi kupita wote waliopata kutawala Yerusalemu kabla yangu. Naam, nina uzoefu wa hekima na maarifa.”

17. Nilipania kubainisha kati ya hekima, wazimu na upumbavu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kufukuza upepo.

18. Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi;na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.

Kusoma sura kamili Mhubiri 1