Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 7:1-6 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwanangu, yashike maneno yangu,zihifadhi kwako amri zangu.

2. Zifuate amri zangu nawe utaishi;yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

3. Yafunge vidoleni mwako;yaandike moyoni mwako.

4. Iambie Hekima: “Wewe ni dada yangu”,na Busara “Wewe ni rafiki yangu”.

5. Vitakulinda mbali na mwanamke mbaya,vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamke mgeni.

6. Siku moja dirishani mwa nyumba yangu,nilichungulia nje kupitia viunzi vya dirisha,

Kusoma sura kamili Methali 7