Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 31:21-24 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Hawahofii watu wake ijapo baridi ya kipupwe,maana kila mmoja anazo nguo za kutosha.

22. Hujitengenezea matandiko,mavazi yake ni ya zambarau ya kitani safi.

23. Mume wake ni mtu mashuhuri barazani,anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.

24. Mwanamke huyo hutengeneza nguo na kuziuza,huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Kusoma sura kamili Methali 31