Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 29:12-16 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mtawala akisikiliza mambo ya uongo,maofisa wake wote watakuwa waovu.

13. Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja:Wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu.

14. Mfalme anayewaamua maskini kwa haki,atauona utawala wake umeimarika milele.

15. Adhabu na maonyo huleta hekima,lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake.

16. Waovu wakitawala maovu huongezeka,lakini waadilifu watashuhudia kuanguka kwao.

Kusoma sura kamili Methali 29