Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 28:25-28 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Mchoyo huchochea ugomvi,lakini anayemtegemea Mwenyezi-Mungu atafanikiwa.

26. Anayetegemea akili yake mwenyewe ni mpumbavu;lakini anayeishi kwa hekima atakuwa salama.

27. Aliye mkarimu kwa maskini hatatindikiwa kitu,lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.

28. Waovu wakitawala watu hujificha,lakini wakiangamia, waadilifu huongezeka.

Kusoma sura kamili Methali 28