Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 26:11-13 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake,ni kama mbwa anayekula matapishi yake.

12. Wamwona mtu ajionaye kuwa mwenye hekima?Nakuambia mpumbavu ni nafuu kuliko huyo.

13. Mvivu husema: “Huko nje kuna simba;siwezi kwenda huko.”

Kusoma sura kamili Methali 26