Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 12:9-12 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Afadhali mtu wa chini anayejitegemea,kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.

10. Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake,lakini huruma ya mwovu ni ukatili.

11. Mkulima mwenye bidii ana chakula tele,lakini afuataye mambo yasiyofaa hana akili.

12. Waovu hutamani faida isiyo halali,lakini mtu mwadilifu husimama imara.

Kusoma sura kamili Methali 12