Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 12:26-28 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Mtu mwadilifu huuepa uovu,lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.

27. Mwindaji mvivu hatapata anachowinda,lakini mwenye bidii atafanikiwa.

28. Uadilifu ni njia ya uhai,lakini uovu huongoza katika mauti.

Kusoma sura kamili Methali 12