6. Mtu aelewe methali na mifano, maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.
7. Kumcha Mwenyezi-Mungu ni msingi wa maarifa,lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.
8. Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,wala usiyapuuze mafundisho ya mama yako;
9. hayo yatakupamba kilemba kichwani pako,kama mkufu shingoni mwako.