Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 1:30-33 Biblia Habari Njema (BHN)

30. maadamu mlikataa shauri langu,mkayapuuza maonyo yangu yote;

31. basi, mtakula matunda ya mienendo yenu,mtavimbiwa kwa hila zenu wenyewe.

32. Maana wajinga hujiua kwa ukaidi wao,wapumbavu hujiangamiza kwa kujiamini kwao.

33. Lakini kila anisikilizaye atakaa salama,atatulia bila kuogopa mabaya.”

Kusoma sura kamili Methali 1