Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 1:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hizi ni methali za Solomoni mfalme wa Israeli, mwana wa Daudi.

2. Methali hizi zawapatia watu hekima na nidhamu; zawafanya waelewe maneno ya busara,

3. zawafanya kuwa na nidhamu, utaratibu, uadilifu, haki na kutenda kwa usawa.

4. Huwapatia wajinga werevu na vijana maarifa na hadhari.

Kusoma sura kamili Methali 1