Agano la Kale

Agano Jipya

Maombolezo 4:2-4 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Watoto wa Siyoni waliosifika sana,waliothaminiwa kama dhahabu safi,jinsi gani sasa wamekuwa kama vyombo vya udongo,kazi ya mikono ya mfinyanzi!

3. Hata mbwamwitu huwa na hisia za mamana kuwanyonyesha watoto wao;lakini watu wangu wamekuwa wakatili,hufanya kama mbuni nyikani.

4. Midomo ya watoto wachanga imekauka kwa kiu,watoto wanaomba chakula lakini hakuna anayewapa.

Kusoma sura kamili Maombolezo 4