2. Watoto wa Siyoni waliosifika sana,waliothaminiwa kama dhahabu safi,jinsi gani sasa wamekuwa kama vyombo vya udongo,kazi ya mikono ya mfinyanzi!
3. Hata mbwamwitu huwa na hisia za mamana kuwanyonyesha watoto wao;lakini watu wangu wamekuwa wakatili,hufanya kama mbuni nyikani.
4. Midomo ya watoto wachanga imekauka kwa kiu,watoto wanaomba chakula lakini hakuna anayewapa.