63. Wakati wote, wamekaa au wanakwenda,mimi ndiye wanayemzomea.
64. Uwalipize, ee Mwenyezi-Mungukadiri ya hayo matendo yao,kadiri ya mambo waliyotenda wenyewe.
65. Uipumbaze mioyo yao,na laana yako iwashukie.
66. Uwafuatie kwa hasira, uwaangamize,uwafanye watoweke ulimwenguni.”