46. “Maadui zetu wote wanatuzomea.
47. Kitisho na hofu vimetuandama,tumepatwa na maafa na maangamizi.
48. Macho yangu yabubujika mito ya machozikwa sababu ya kuangamizwa kwa watu wangu.
49. “Machozi yatanitoka bila kikomo,
50. mpaka Mwenyezi-Mungu kutoka huko mbinguniaangalie chini na kuona.