25. Mwenyezi-Mungu ni mwema kwa wanaomtegemea,ni mwema kwa wote wanaomtafuta.
26. Ni vema mtu kungojea kwa saburiukombozi utokao kwa Mwenyezi-Mungu.
27. Ni vema mtu kujifunza uvumilivutangu wakati wa ujana wake.
28. Heri kukaa peke na kimya,mazito yanapompata kutoka kwa Mungu.
29. Yampasa kuinama na kujinyenyekesha,huenda ikawa tumaini bado lipo.