1. Mimi ni mtu niliyepata matesokwa fimbo ya ghadhabu yake Mungu.
2. Amenichukua akanipelekampaka gizani kusiko na mwanga.
3. Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu,akanichapa tena na tena mchana kutwa.
4. Amenichakaza ngozi na nyama,mifupa yangu ameivunja.
5. Amenizingira na kunizungushiauchungu na mateso.
6. Amenikalisha gizanikama watu waliokufa zamani.